1 Mambo Ya Nyakati 23:32
unayajua 0/18
32
又看守会幕和圣所,并守耶和华吩咐他们弟兄亚伦子孙的,办耶和华殿的事。
yòu kān shǒu huì mù hé shèng suǒ , bìng shǒu yē hé huá fēn fù tā men dì xiong yà lún zǐ sūn de , bàn yē hé huá diàn de shì 。
Hivyo Walawi wakafanya wajibu wao katika Hema la Kukutania, katika Mahali Patakatifu chini ya uongozi wa ndugu zao wazao wa Aroni, kwa ajili ya utumishi katika Hekalu la Bwana.