中文圣经

1 Mambo Ya Nyakati 28:1

unayajua 0/32
1

dà wèi zhāo jù yǐ sè liè gè zhī pài de shǒu lǐng hé lún bān fú shì wáng de jūn zhǎng , yǔ qiān fū cháng 、 bǎi fū zhǎng , zhǎng guǎn wáng hé wáng zǐ chǎn yè shēng chù de , bìng tài jian , yǐ jí dà néng de yǒng shì , dōu dào yē lù sā lěng lái 。

Daudi akawaita maafisa wote wa Israeli wakusanyike huko Yerusalemu: yaani, maafisa walio juu ya makabila, majemadari wa vikosi katika utumishi wa mfalme, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, maafisa wanaosimamia mali zote na mifugo ya mfalme na wanawe, wakiwemo maafisa wa jumba la kifalme, mashujaa na askari wote walio hodari.

Maneno katika mstari huu