1 Samweli 14:24
unayajua 0/28
24
扫罗叫百姓起誓说,凡不等到晚上向敌人报完了仇吃什么的,必受咒诅。因此这日百姓没有吃什么,就极其困惫。
sǎo luó jiào bǎi xìng qǐ shì shuō , fán bù děng dào wǎn shàng xiàng dí rén bào wán le chóu chī shén me de , bì shòu zhòu zǔ 。 yīn cǐ zhè rì bǎi xìng méi yǒu chī shén me , jiù jí qí kùn bèi 。
Basi watu wa Israeli walikuwa katika dhiki siku ile, kwa sababu Sauli alikuwa amewafunga watu kwa kiapo, akisema, “Alaaniwe mtu yeyote ambaye atakula chakula kabla ya jioni, kabla sijalipiza kisasi juu ya adui zangu!” Kwa hiyo hakuna mtu yeyote katika jeshi aliyeonja chakula.