中文圣经

2 Mambo Ya Nyakati 2:4

unayajua 0/41
4

殿

wǒ yào wèi yē hé huá — wǒ shén de míng jiàn zào diàn yǔ , fēn bié wèi shèng xiàn gěi tā , zài tā miàn qián fén shāo měi xiāng , cháng bǎi chén shè bǐng , měi zǎo wǎn 、 ān xī rì 、 yuè shuò , bìng yē hé huá — wǒ men shén suǒ dìng de jié qī xiàn fán jì 。 zhè shì yǐ sè liè rén yǒng yuǎn de dìng lì 。

Sasa ninakaribia kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana Mungu wangu na kuliweka wakfu kwake kwa ajili ya kufukizia uvumba wenye harufu nzuri mbele zake, mahali pa kuweka mikate ya Wonyesho kwa kufuata utaratibu na kwa ajili ya mahali pa kutolea sadaka za kuteketezwa kila siku asubuhi na jioni, siku za Sabato na Mwezi Mwandamo pia katika sikukuu zilizoamriwa za Bwana Mungu wetu. Hili ni agizo la kudumu kwa ajili ya Waisraeli.

Maneno katika mstari huu