中文圣经

2 Mambo Ya Nyakati 23:13

unayajua 0/39
13

殿:「!」

kàn jiàn wáng zhàn zài diàn mén de zhù páng , bǎi fū zhǎng hé chuī hào de rén shì lì zài wáng zuǒ yòu , guó mín dōu huān lè chuī hào , yòu yǒu gē chàng de , yòng gè yàng de yuè qì lǐng rén gē chàng zàn měi ; yà tā lì yǎ jiù sī liè yī fu , hǎn jiào shuō :「 fǎn le ! fǎn le !」

Athalia akaangalia, tazama alikuwepo mfalme akiwa amesimama karibu na nguzo yake kwenye ingilio. Maafisa na wapiga tarumbeta walikuwa kando ya mfalme, nao watu wote wa nchi walikuwa wanashangilia na kupiga tarumbeta na waimbaji wakiwa na vyombo vya uimbaji, walikuwa wakiongoza nyimbo za sifa. Ndipo Athalia akararua mavazi yake na kupiga kelele, akisema, “Uhaini! Uhaini!”

Maneno katika mstari huu