中文圣经

2 Mambo Ya Nyakati 4

unayajua 0/176

tā yòu zhì zào yí zuò tóng tán , cháng èr shí zhǒu , kuān èr shí zhǒu , gāo shí zhǒu ;

Mfalme Solomoni akatengeneza madhabahu ya shaba yenye urefu wa dhiraa ishirini, upana wa dhiraa ishirini na kimo chake dhiraa kumi.

yòu zhù yí gè tóng hǎi , yàng shì shì yuán de , gāo wǔ zhǒu , jìng shí zhǒu , wéi sān shí zhǒu ;

Akatengeneza Bahari ya kusubu, yenye umbo la mviringo, ya dhiraa kumi kutoka ukingo hadi ukingo na kimo cha dhiraa tano. Kamba ya urefu wa dhiraa thelathini ingeweza kuizunguka.

hǎi zhōu wéi yǒu yě guā de yàng shì , měi zhǒu shí guā , gòng yǒu liǎng háng , shì zhù hǎi de shí hòu zhù shàng de ;

Chini ya huo ukingo, kulikuwa na mafahali kuizunguka, yaani mafahali kumi katika kila dhiraa moja. Hayo mafahali waliyasubu katika safu mbili yakiwa ya kitu kimoja na hiyo Bahari.

西

yǒu shí èr zhī tóng niú tuó hǎi : sān zhī xiàng běi , sān zhī xiàng xī , sān zhī xiàng nán , sān zhī xiàng dōng ; hǎi zài niú shàng , niú wěi xiàng nèi ;

Bahari hiyo ilikaa juu ya mafahali kumi na wawili, mafahali watatu walielekeza nyuso zao kaskazini, watatu magharibi, watatu kusini na watatu mashariki. Bahari hiyo ilikaa juu ya hao mafahali, nazo sehemu zao za nyuma zilielekeana.

hǎi hòu yì zhǎng , biān rú bēi biān , yòu rú bǎi hé huā , kě róng sān qiān bà tè ;

Unene wake ulikuwa nyanda nne, na ukingo wake ulifanana na ukingo wa kikombe, kama ua la yungiyungi iliyochanua. Iliweza kuchukua bathi 3,000.

yòu zhì zào shí gè pén : wǔ gè fàng zài yòu biān , wǔ gè fàng zài zuǒ biān , xiàn fán jì suǒ yòng zhī wù dōu xǐ zài qí nèi ; dàn hǎi shì wèi jì sī mù yù de 。

Kisha akatengeneza masinia kumi kwa ajili ya kuoshea vifaa, naye akayaweka matano upande wa kusini na matano upande wa kaskazini. Ndani yake ndimo walioshea vifaa vya kutumika katika sadaka za kuteketezwa, lakini ile Bahari ilikuwa ni kwa ajili ya makuhani kunawia.

殿

tā yòu zhào suǒ dìng de yàng shì zào shí gè jīn dēng tái fàng zài diàn lǐ : wǔ gè zài yòu biān , wǔ gè zài zuǒ biān ;

Akatengeneza vinara vya taa kumi vya dhahabu kama ilivyoainishwa kwao na kuviweka hekaluni, vinara vitano upande wa kusini na vitano upande wa kaskazini.

殿

yòu zào shí zhāng zhuō zi fàng zài diàn lǐ : wǔ zhāng zài yòu biān , wǔ zhāng zài zuǒ biān ; yòu zào yì bǎi gè jīn wǎn ;

Akatengeneza meza kumi na kuziweka hekaluni, tano upande wa kusini na tano upande wa kaskazini. Pia akatengeneza mabakuli 100 ya dhahabu ya kunyunyizia.

yòu jiàn lì jì sī yuàn hé dà yuàn , bìng yuàn mén , yòng tóng bāo guǒ mén shàn ;

Akatengeneza ukumbi wa makuhani na ukumbi mwingine mkubwa na milango yake, naye akaifunika hiyo milango kwa shaba.

殿

jiāng hǎi ān zài diàn mén de yòu biān , jiù shì nán biān 。

Akaweka ile Bahari upande wa kusini, kwenye pembe ya kusini mashariki ya nyumba.

殿

hù lán yòu zào le pén 、 chǎn 、 wǎn 。 zhè yàng , tā wèi suǒ luó mén wáng zuò wán le shén diàn de gōng 。

Pia akatengeneza masufuria, masepetu na mabakuli ya kunyunyizia. Kwa hiyo Huramu akakamilisha kazi katika Hekalu la Mungu kama vile Mfalme Solomoni alikuwa amemwagiza, yaani:

suǒ zào de jiù shì : liǎng gēn zhù zi hé zhù shàng liǎng gè rú qiú de dǐng , bìng liǎng gè gài zhù dǐng de wǎng zǐ

zile nguzo mbili; yale mataji mawili yaliyokuwa juu ya hizo nguzo, zile nyavu mbili za kupamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli yaliyowekwa juu ya zile nguzo;

)。

hé sì bǎi shí liú , ān zài liǎng gè wǎng zǐ shàng ( měi wǎng liǎng háng gài zhe liǎng gè zhù shàng rú qiú de dǐng )。

yale makomamanga 400 kwa ajili ya hizo nyavu mbili (safu mbili za makomamanga kwa kila wavu yakipamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo);

pén zuò hé qí shàng de pén ,

vishikio pamoja na masinia yake;

hǎi hé hǎi xià de shí èr zhī niú ,

hiyo Bahari na hao mafahali kumi na wawili chini yake;

殿

pén 、 chǎn zǐ 、 ròu chā zǐ , yǔ yē hé huá diàn lǐ de yí qiè qì mǐn , dōu shì qiǎo jiàng hù lán yòng guāng liàng de tóng wèi suǒ luó mén wáng zào chéng de ,

pia hayo masufuria, masepetu, uma za nyama na vyombo vingine vyote vilivyohusiana. Vitu vyote ambavyo Huramu-Abi alimtengenezea Mfalme Solomoni kwa ajili ya Hekalu la Bwana vilikuwa vya shaba iliyosuguliwa.

shì zài yuē dàn píng yuán shū gē hé sā lì dàn zhōng jiān jiè jiāo ní zhù chéng de 。

Mfalme aliagiza wavisubu vitu hivi kwenye kalibu za udongo wa mfinyanzi katika uwanda wa Yordani kati ya Sukothi na Sereda.

suǒ luó mén zhì zào de zhè yí qiè shèn duō , tóng de qīng zhòng wú fǎ kě chá 。

Vitu hivi vyote Mfalme Solomoni alivyotengeneza vilikuwa vingi sana hivi kwamba uzito wa shaba haungekadirika.

殿

suǒ luó mén yòu zào shén diàn lǐ de jīn tán hé chén shè bǐng de zhuō zi ,

Solomoni pia akatengeneza samani zote zilizokuwa ndani ya Hekalu la Mungu: madhabahu ya dhahabu; meza za kuweka mikate ya Wonyesho;

殿

bìng jīng jīn de dēng tái hé dēng zhǎn , kě yǐ zhào lì diǎn zài nèi diàn qián 。

vinara vya taa vya dhahabu safi pamoja na taa zake ili ziwake mbele ya sehemu takatifu ya ndani kama ilivyoelekezwa;

dēng tái shàng de huā hé dēng zhǎn , bìng là jiǎn dōu shì jīn de , qiě shì chún jīn de ;

maua ya dhahabu yaliyofanyizwa, taa na makoleo (vilikuwa vya dhahabu bora kabisa);

殿殿

yòu yòng jīng jīn zhì zào niè zǐ 、 pán zi 、 tiáo gēng 、 huǒ dǐng 。 zhì yú diàn mén hé zhì shèng suǒ de mén shàn , bìng diàn de mén shàn , dōu shì jīn zǐ zhuāng shì de 。

mikasi ya dhahabu safi, mabakuli ya kunyunyizia, masinia na vyetezo; milango ya dhahabu ya Hekalu: yaani milango ya ndani ya Patakatifu pa Patakatifu, na milango ya ukumbi mkuu.

Jipime kwa sura hii

Jaribio fupi la maneno 10.