中文圣经

2 Mambo Ya Nyakati 6:13

unayajua 0/28
13

( suǒ luó mén céng zào yí gè tóng tái , cháng wǔ zhǒu , kuān wǔ zhǒu , gāo sān zhǒu , fàng zài yuàn zhōng ) jiù zhàn zài tái shàng , dāng zhe yǐ sè liè de huì zhòng guì xià , xiàng tiān jǔ shǒu ,

Basi Solomoni alikuwa ametengeneza jukwaa la shaba, urefu wake dhiraa tano, na upana wake dhiraa tano na kimo chake dhiraa tatu, naye akaliweka katikati ya ukumbi wa nje. Akapanda juu ya hilo jukwaa kisha akapiga magoti mbele ya kusanyiko lote la Israeli, akanyoosha mikono yake kwelekea mbinguni.

Maneno katika mstari huu