中文圣经

2 Wafalme 16:15

unayajua 0/39
15

:「。」

yà hā sī wáng fēn fù jì sī wū lì yà shuō :「 zǎo chén de fán jì 、 wǎn shàng de sù jì , wáng de fán jì 、 sù jì , guó nèi zhòng mín de fán jì 、 sù jì 、 diàn jì dōu yào shāo zài dà tán shàng 。 fán jì shēng hé píng ān jì shēng de xuè yě yào sǎ zài zhè tán shàng , zhǐ shì tóng tán wǒ yào yòng yǐ qiú wèn yē hé huá 。」

Ndipo Mfalme Ahazi akatoa amri zifuatazo kwa Uria kuhani: “Juu ya hayo madhabahu kubwa mapya, toa sadaka ya asubuhi ya kuteketezwa na sadaka ya jioni ya nafaka, sadaka ya mfalme ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya nafaka, sadaka ya kuteketezwa ya watu wote wa nchi, pamoja na sadaka yao ya nafaka na sadaka yao ya kinywaji. Unyunyize juu ya hayo madhabahu damu yote ya sadaka za kuteketezwa na dhabihu. Lakini mimi nitatumia hayo madhabahu ya zamani ya shaba kwa ajili ya kutafuta uongozi.”

Maneno katika mstari huu