中文圣经

2 Wafalme 23:8

unayajua 0/31
8

bìng qiě cóng yóu dà de chéng yì dài zhòng jì sī lái , wū huì jì sī shāo xiāng de qiū tán , cóng jiā bā zhí dào bié shì bā , yòu chāi huǐ chéng mén páng de qiū tán , zhè qiū tán zài yì zǎi yuē shū yà mén qián , jìn chéng mén de zuǒ biān 。

Yosia akawaleta makuhani wote wa Bwana kutoka miji yote ya Yuda, na kunajisi mahali pa juu pa kuabudia miungu, kuanzia Geba hadi Beer-Sheba, mahali pote ambapo hao makuhani wa miungu walifukiza uvumba. Akabomoa mahali pa kuwekea vitu vya ibada za miungu palipokuwa katika malango, kwenye ingilio la Lango la Yoshua, mtawala wa mji, lililoko upande wa kushoto wa lango la mji.

Maneno katika mstari huu