中文圣经

2 Samweli 17:18

unayajua 0/27
18

rán ér yǒu yí gè tóng zǐ kàn jiàn tā men , jiù qù gào sù yā shā lóng 。 tā men jí máng pǎo dào bā hù lín mǒu rén de jiā lǐ ; nà rén yuàn zhōng yǒu yì kǒu jǐng , tā men jiù xià dào jǐng lǐ 。

Lakini kijana mmoja mwanaume akawaona, naye akamwambia Absalomu. Basi wote wawili wakaondoka haraka, wakaenda mpaka kwenye nyumba ya mtu mmoja huko Bahurimu. Mtu huyo alikuwa na kisima katika ua wa nyumba yake, nao Yonathani na Ahimaasi wakateremka ndani ya kisima hicho.

Maneno katika mstari huu