中文圣经

2 Samweli 20:21

unayajua 0/44
21

便。」:「。」

nǎi yīn yǐ fǎ lián shān dì de yí gè rén — bǐ jī lì de ér zi shì bā — jǔ shǒu gōng jī dà wèi wáng , nǐ men ruò jiāng tā yì rén jiāo chū lái , wǒ biàn lí chéng ér qù 。」 fù rén duì yuē yā shuō :「 nà rén de shǒu jí bì cóng chéng qiáng shàng diū gěi nǐ 。」

Hivyo sivyo ilivyo. Mtu mmoja jina lake Sheba mwana wa Bikri, kutoka nchi ya vilima vya Efraimu, ameinua mkono wake dhidi ya mfalme, dhidi ya Daudi. Nikabidhini mtu huyu mmoja, nami nitajiondoa katika mji huu.” Huyu mwanamke akamwambia Yoabu, “Kichwa chake mtatupiwa kupitia juu ya ukuta.”

Maneno katika mstari huu