中文圣经

Danieli 2:35

unayajua 0/34
35

yú shì jīn 、 yín 、 tóng 、 tiě 、 ní dōu yì tóng zá dé fěn suì , chéng rú xià tiān hé chǎng shàng de kāng bǐ , bèi fēng chuī sàn , wú chù kě xún 。 dǎ suì zhè xiàng de shí tou biàn chéng yí zuò dà shān , chōng mǎn tiān xià 。

Ndipo ile chuma, ule udongo wa mfinyanzi, ile shaba, ile fedha na ile dhahabu vikavunjika vipande vipande kwa wakati mmoja, na vikawa kama makapi katika sakafu ya kupuria nafaka wakati wa kiangazi. Upepo ukavipeperusha bila kuacha hata alama. Lakini lile jiwe lililoipiga ile sanamu likawa mlima mkubwa mno na kuijaza dunia yote.

Maneno katika mstari huu