中文圣经

Waamuzi 2:18

unayajua 0/29
18

yē hé huá wèi tā men xīng qǐ shì shī , jiù yǔ nà shì shī tóng zài 。 shì shī zài shì de yí qiè rì zi , yē hé huá zhěng jiù tā men tuō lí chóu dí de shǒu 。 tā men yīn shòu qī yā rǎo hài , jiù āi shēng tàn qì , suǒ yǐ yē hé huá hòu huǐ le 。

Kila mara Bwana alipowainulia mwamuzi, Bwana alikuwa pamoja na huyo mwamuzi, naye aliwaokoa kutoka mikononi mwa adui zao kwa kipindi chote alichoishi yule mwamuzi. Kwa kuwa Bwana aliwahurumia kwa sababu ya kilio chao cha huzuni kwa ajili ya wale waliokuwa wakiwatesa na kuwataabisha.

Maneno katika mstari huu