中文圣经

Mambo Ya Walawi 22:13

unayajua 0/28
13

dàn jì sī de nǚ ér ruò shì guǎ fù , huò shì bèi xiū de , méi yǒu hái zi , yòu guī huí fù jiā , yǔ tā qīng nián yí yàng , jiù kě yǐ chī tā fù qīn de shí wù ; zhǐ shì wài rén bù kě chī 。

Lakini ikiwa binti wa kuhani amekuwa mjane au amepewa talaka, naye hana watoto, na akarudi kuishi na jamaa ya baba yake kama wakati wa usichana wake, binti huyo anaweza kula chakula cha baba yake. Hata hivyo, mtu asiyeruhusiwa hawezi kula chochote katika chakula hiki.

Maneno katika mstari huu