Mathayo 20:1
unayajua 0/13
1
「因为天国好像家主清早去雇人进他的葡萄园做工,
「 yīn wèi tiān guó hǎo xiàng jiā zhǔ qīng zǎo qù gù rén jìn tā de pú táo yuán zuò gōng ,
“Kwa maana Ufalme wa Mbinguni unafanana na mtu mwenye shamba aliyetoka alfajiri ili kwenda kuajiri vibarua kufanya kazi katika shamba lake la mizabibu.