中文圣经

Ufunuo 5:6

unayajua 0/30
6

wǒ yòu kàn jiàn bǎo zuò yǔ sì huó wù , bìng zhǎng lǎo zhī zhōng yǒu gāo yáng zhàn lì , xiàng shì bèi shā guò de , yǒu qī jiǎo qī yǎn , jiù shì shén de qī líng , fèng chāi qiǎn wǎng pǔ tiān xià qù de 。

Ndipo nikaona katikati ya kile kiti cha enzi na wale viumbe wenye uhai wanne na miongoni mwa wale wazee, Mwana-Kondoo amesimama, akiwa kama amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba, ambazo ndizo zile Roho saba za Mungu zilizotumwa duniani pote.

Maneno katika mstari huu