中文圣经

Ufunuo 5:8

unayajua 0/30
8

tā jì ná le shū juàn , sì huó wù hé èr shí sì wèi zhǎng lǎo jiù fǔ fú zài gāo yáng miàn qián , gè ná zhe qín hé shèng mǎn le xiāng de jīn lú ; zhè xiāng jiù shì zhòng shèng tú de qí dǎo 。

Alipokwisha kukitwaa kile kitabu, wale viumbe wenye uhai wanne pamoja na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele ya yule Mwana-Kondoo. Kila mmoja wao alikuwa na kinubi, nao walikuwa wameshika mabakuli ya dhahabu yaliyojaa uvumba, ambayo ni maombi ya watakatifu.

Maneno katika mstari huu