中文圣经

2 Wafalme 17:15

unayajua 0/29
15

yàn qì tā de lǜ lì hé tā yǔ tā men liè zǔ suǒ lì de yuē , bìng quàn jiè tā men de huà , suí cóng xū wú de shén , zì jǐ chéng wéi xū wàng , xiào fǎ zhōu wéi de wài bāng rén , jiù shì yē hé huá zhǔ fù tā men bù kě xiào fǎ de ;

Walizikataa amri zake, na agano alilokuwa amelifanya na baba zao, na maonyo aliyokuwa amewapa. Wakafuata sanamu zisizofaa, nao wenyewe wakawa hawafai. Wakayaiga mataifa yaliyowazunguka, ingawa Bwana alikuwa amewaonya akiwaambia, “Msifanye kama wanavyofanya,” nao wakafanya mambo ambayo Bwana alikuwa amewakataza wasifanye.

Maneno katika mstari huu