中文圣经

2 Samweli 13:34

unayajua 0/15
34

yā shā lóng táo pǎo le 。 shǒu wàng de shào nián rén jǔ mù guān kàn , jiàn yǒu xǔ duō rén cóng shān pō de lù shang lái 。

Wakati huo, Absalomu akawa amekimbia. Basi mlinzi akaangalia, naye akaona watu wengi barabarani magharibi yake, wakishuka kutoka upande wa kilima. Mlinzi akaenda akamwambia mfalme, “Naona watu wakitokea upande wa Horonaimu, huko upande wa kilimani.”

Maneno katika mstari huu