中文圣经

Ezekieli 48:21

unayajua 0/35
21

西西西殿

shèng gòng dì lián guī chéng zhī dì , liǎng biān de yú dì yào guī yǔ wáng 。 gòng dì dōng biān , nán běi èr wàn wǔ qiān zhǒu , dōng zhì dōng jiè , xī biān nán běi èr wàn wǔ qiān zhǒu , xī zhì xī jiè , yǔ gè fēn zhī dì xiāng tóng , dōu yào guī wáng 。 shèng gòng dì hé diàn de shèng dì yào zài qí zhōng ,

“Eneo linalobaki pande zote za eneo linalofanya sehemu takatifu na milki ya mji litakuwa mali ya mkuu atawalaye. Eneo hili litaenea upande wa mashariki kuanzia kwenye dhiraa 25,000 za sehemu takatifu hadi mpaka wa mashariki na kuelekea upande wa magharibi kuanzia kwenye dhiraa 25,000 hadi mpaka wa magharibi. Maeneo yote haya mawili yanayoenda sambamba na urefu wa sehemu za makabila yatakuwa ya mkuu anayetawala, na sehemu ile takatifu pamoja na mahali patakatifu pa Hekalu itakuwa katikati yake.

Maneno katika mstari huu