中文圣经

Ezra 10:16

unayajua 0/32
16

bèi lǔ guī huí de rén rú cǐ ér xíng 。 jì sī yǐ sī lā hé xiē zú zhǎng àn zhe zōng zú dōu zhǐ míng jiàn pài ; zài shí yuè chū yī rì , yì tóng zài zuò chá bàn zhè shì ,

Basi watu wa uhamishoni wakafanya kama ilivyokuwa imependekezwa. Kuhani Ezra akachagua wanaume waliokuwa viongozi wa jamaa, mmoja kutoka kila mgawanyo wa jamaa, nao wote wakachaguliwa kwa majina. Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kumi waliketi kuchunguza mashauri hayo.

Maneno katika mstari huu