Ezra 10:16
unayajua 0/32
16
被掳归回的人如此而行。祭司以斯拉和些族长按着宗族都指名见派;在十月初一日,一同在座查办这事,
bèi lǔ guī huí de rén rú cǐ ér xíng 。 jì sī yǐ sī lā hé xiē zú zhǎng àn zhe zōng zú dōu zhǐ míng jiàn pài ; zài shí yuè chū yī rì , yì tóng zài zuò chá bàn zhè shì ,
Basi watu wa uhamishoni wakafanya kama ilivyokuwa imependekezwa. Kuhani Ezra akachagua wanaume waliokuwa viongozi wa jamaa, mmoja kutoka kila mgawanyo wa jamaa, nao wote wakachaguliwa kwa majina. Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kumi waliketi kuchunguza mashauri hayo.