Yohana 18:28
unayajua 0/30
28
众人将耶稣从该亚法那里往衙门内解去,那时天还早。他们自己却不进衙门,恐怕染了污秽,不能吃逾越节的筵席。
zhòng rén jiāng yē sū cóng gāi yà fǎ nà lǐ wǎng yá mén nèi jiě qù , nà shí tiān hái zǎo 。 tā men zì jǐ què bú jìn yá mén , kǒng pà rǎn le wū huì , bù néng chī yú yuè jié de yán xí 。
Ndipo Wayahudi wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa na kumpeleka kwenye jumba la kifalme la mtawala wa Kirumi. Wakati huo ilikuwa ni alfajiri, ili kuepuka kuwa najisi kwa taratibu za ibada, Wayahudi hawakuingia ndani kwa sababu ya sheria za Kiyahudi. Wangehesabiwa kuwa najisi kama wangeingia nyumbani mwa mtu asiye Myahudi na wasingeruhusiwa kushiriki katika Sikukuu ya Pasaka.