中文圣经

Mambo Ya Walawi 16:17

unayajua 0/25
17

tā jìn shèng suǒ shú zuì de shí hòu , huì mù lǐ bù kě yǒu rén , zhí děng dào tā wèi zì jǐ hé běn jiā bìng yǐ sè liè quán huì zhòng shú le zuì chū lái 。

Mtu yeyote haruhusiwi kuwa ndani ya Hema la Kukutania, kuanzia wakati Aroni anapoingia kufanya upatanisho katika Patakatifu pa Patakatifu, hadi atakapotoka nje, baada ya kujifanyia upatanisho yeye mwenyewe na nyumba yake, pamoja na jumuiya yote ya Israeli.

Maneno katika mstari huu